• HABARI MPYA

        Sunday, August 20, 2023

        MAN CITY YAWACHAPA NEWCASTLE UNITED 1-0 ETIHAD


        BAO pekee la Julian Alvarez dakika ya 31 jana lilitosha kuipa Manchester City ushindi wa 1-0 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.
        Ni ushindi wa pili mfululizo kwa mabingwa hao watetezi, baada ya ushindi wa 3-0 ugenini dhidi ya Burnley, wakati Newcastle inapoteza mchezo wa kwanza kufuatia kuanza na ushindi wa 5-1 dhidi ya Aston Villa.

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MAN CITY YAWACHAPA NEWCASTLE UNITED 1-0 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry