• HABARI MPYA

        Wednesday, August 16, 2023

        KITAYOSCE YAFUTIWA ADHABU, KUIVAA AZAM FC NA KIKOSI KAMILI


        KLABU ya Kitayosce imefutiwa adhabu ya kutofanya usajili katika dirisha hili - hivyo iko huru kuwatumia wachezaji wake wote katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhido ya wenyeji, Azam FC.


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: KITAYOSCE YAFUTIWA ADHABU, KUIVAA AZAM FC NA KIKOSI KAMILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry