• HABARI MPYA

    Wednesday, July 05, 2023

    TWIGA STARS YAIFUATA UGANDA MECHI YA KIRAFIKI IJUMAA


    WACHEZAJI wa timu ya taifa ya wanawake Tanzania, Twiga Stars wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam leo wakati wa safari ya kwenda Uganda kwa mchezo wa kirafiki Ijumaa dhidi ya wenyeji Uwanja wa Omondi, Lugogo.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TWIGA STARS YAIFUATA UGANDA MECHI YA KIRAFIKI IJUMAA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top