• HABARI MPYA

    Thursday, July 06, 2023

    SIMBA SC YACHUKUA KOCHA WA MAKIPA ALIYEONDOLEWA AZAM FC


    KLABU ya Simba SC imemtambulisha Mspaniola Daniel Cadena kuwa kocha wake mpya wa makipa kuelekea msimu ujao.
    Daniel Cadena anahamia Simba baada ya kufanya kazi Azam FC msimu uliopita, kabla ya mabadiliko yaliyofanywa kukuondoa kazini pamoja na wenzake wote aliokuwa nao benchini.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YACHUKUA KOCHA WA MAKIPA ALIYEONDOLEWA AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top