• HABARI MPYA

        Wednesday, June 28, 2023

        YANGA YATOZWA FAINI KWA MASHABIKI KUSHAMBULIA STEWARDS SOKOINE


        KLABU ya Yanga imetozwa faini ya Sh. Milioni 1 baada ya mashabiki wake kuwarushia chupa walinzi wa Uwanja wa Sokoine wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City.



        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: YANGA YATOZWA FAINI KWA MASHABIKI KUSHAMBULIA STEWARDS SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry