• HABARI MPYA

        Thursday, June 29, 2023

        TWIGA STARS YASONGA MBELE BILA JASHO KUFUZU OLIMPIKI 2024


        TIMU ya soka ya taifa ya wanawake Tanzania, “Twiga Stars” imefuzu kucheza Raundi ya Pili ya kufuzu Michezo ya Olimpiki 2024 Paris  baada ya Kongo kujiondoa.
        Sasa Twiga Stars iliyo chini ya kocha Bakari Nyundo Shime itacheza na Botswana katika Raundi ya Pili ya kuwania tiketi ya Paris 2024 mwezi Oktoba ikianzia nyumbani. 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: TWIGA STARS YASONGA MBELE BILA JASHO KUFUZU OLIMPIKI 2024 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry