TIMU za Dodoma Jiji FC na Coastal Union zimegawana pointi kwa sare ya kufungana bao 1-1 leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Maabad Maulid alianza kuwafungia Coastal Union dakika ya 49, kabla ya Raizin Hafidh kuwasawazishia wenyeji, Dodoma Jiji dakika ya 87 akiifunga timu yake ya zamani. Kwa matokeo hayo, Dodoma Jiji inafikisha pointi 28 na kusogea nafasi ya 10, wakati Coastal Union inafikisha pointi 27 na kusogea nafasi ya 11 baada ya wote kucheza mechi 26.
Preview: Preston North End v Arsenal
-
Get the team news, key facts and stats, quotes, tactics, TV coverage and
more ahead of our Carabao Cup clash against Preston
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment