• HABARI MPYA

        Tuesday, April 25, 2023

        BODI YA FILAMU YASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA KOREA KUSINI


        WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt.Pindi Chana @pindi.chana akishuhudia utiaji saini wa Makubaliano ya Ushirikiano kati ya Bodi ya Filamu Tanzania na Taasisi ya Mashirikiano Kimataifa (BFIC) kutoka Korea Kusini leo Aprili 24, 2023 Mtumba jijini Dodoma.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: BODI YA FILAMU YASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA KOREA KUSINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry