Kwa ushindi huo, Yanga SC inafikisha pointi 53 katika mchezo wa 20 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi tisa zaidi ya mahasimu, Simba SC waliocheza mechi 19.
Ihefu SC baada ya kichapo cha leo inabaki na pointi zake 20 za mechi 20 sasa nafasi ya 13.
0 comments:
Post a Comment