• HABARI MPYA

        Saturday, January 21, 2023

        UCHAGUZI MKUU SIMBA SC KUFANYIKA JULIUS NYERERE CENTRE


        UCHAGUZI Mkuu wa klabu ya Simba utafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam Januari 29, mwaka huu kuanzia Saa 2:00 asubuhi.

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: UCHAGUZI MKUU SIMBA SC KUFANYIKA JULIUS NYERERE CENTRE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry