• HABARI MPYA

        Wednesday, January 25, 2023

        MUSONDA NA AZIZ KI WAFUNGA YANGA YASHINDA 2-0 KIGAMBONI


        TIMU ya Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Transit Camp katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Avic Town, Somangira, Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
        Mabao ya Yanga leo yamefungwa na mshambuliaji mpya, Mzambia, Kennedy Musonda na kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MUSONDA NA AZIZ KI WAFUNGA YANGA YASHINDA 2-0 KIGAMBONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry