• HABARI MPYA

        Thursday, January 19, 2023

        MUSONDA AFUNGA BAO PEKEE YANGA YASHINDA 1-0 KIGAMBONI


        BAO pekee la mshambuliaji mpya kutoka Zambia, Kennedy Musonda limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Dar City katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Avic Town, Somangira, Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MUSONDA AFUNGA BAO PEKEE YANGA YASHINDA 1-0 KIGAMBONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry