KLABU ya Azam FC imemsajili kipa mahiri, Abdulai Iddrisu kwa mkataba wa miaka miwili kutoka Bechem United ya kwao Ghana.
Usajili huo unaotokana na juhudi za mmiliki wa timu, Yusuf Bakhresa kwa pamoja na Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin ‘Popat’ una lengo la kuboresha kikosi katika kuwania mataji ya msimu huu.
Sasa Azam FC itakuwa na makipa wawili wa kigeni, mwingine kipa namba moja wa sasa, Mcomoro Ali Ahmada.
0 comments:
Post a Comment