
Wednesday, November 30, 2022

TIMU ya Dodoma Jiji FC imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo U...
SINGIDA BIG STARS YAFUTIWA ADHABU YA KUTOSAJILI
Wednesday, November 30, 2022
KLABU ya Singida Big Stars imepunguziwa adhabu ya kutosajili hadi kutozwa faini ya Sh. Milioni 1.
KAGERA SUGAR YAREJEA KUCHEZA UWANJA WA KAITABA
Wednesday, November 30, 2022
HATIMAYE klabu ya Kagera Sugar itarejea kucheza mechi zake Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kufuatia kufunguliwa kwa Uwanja wao huo.
YANGA KUMENYANA NA KURUGENZI YA SIMIYU ASFC, SIMBA NA EAGLE
Wednesday, November 30, 2022
DROO ya Raundi ya Pili ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kamaAzam Sports Federation Cup (ASFC) imefanyika leo Jijini Da...
IHEFU SC 2-1 YANGA SC (LIGI KUU TZ BARA)
Wednesday, November 30, 2022
Tuesday, November 29, 2022
IHEFU YAZIMA REKODI YA YANGA KUTOFUNGWA MECHI YA 50
Tuesday, November 29, 2022
WENYEJI, Ihefu SC wamezima wimbi la Yanga kutopoteza mechi katika mchezo wa 50 baada ya ushindi wa 2-1 leo Uwanja wa Highland Estate huko M...
KMC YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA PRISONS UHURU
Tuesday, November 29, 2022
WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es...
Monday, November 28, 2022
KAGERA SUGAR YAICHAPA MTIBWA 1-0 KIRUMBA
Monday, November 28, 2022
BAO pekee la Meshack Abraham dakika ya 68 limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania B...
WAOGELEAJI WA TANZANIA WANG’ARA MICHUANO YA AFRIKA
Monday, November 28, 2022
WAOGELEAJI wa timu ya Taifa ya Tanzania ya wanaume na wanawake (Tanzanite) wameipeperusha vyema bendera ya nchi baada ya kushinda mashindano...
POLISI TANZANIA 1-3 SIMBA SC (LIGI KUU TZ BARA)
Monday, November 28, 2022
Sunday, November 27, 2022
AZAM FC YAICHAPA COASTAL UNION 3-2 CHAMAZI
Sunday, November 27, 2022
WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa...
HATIMAYE UWANJA WA JAMHURI WA DODOMA WAFUNGULIWA
Sunday, November 27, 2022
HATIMAYE timu ya Dodoma Jiji itaanza tena kuchezea nyumbani mechi zake za Ligi Kuu ya Tanzania Bara kufuatia Bodi ya Ligi kuufungulia Uwanja...
PHIRI APIGA MBILI SIMBA YAWAADHIBU POLISI MOSHI
Sunday, November 27, 2022
TIMU ya Simba SC imewaadhibu wenyeji, Polisi Tanzania kwa kuwachapa mabao 3-1 leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Ushi...
YANGA SC 2-0 MBEYA CITY (LIGI KUU TZ BARA)
Sunday, November 27, 2022
Saturday, November 26, 2022
MAYELE APIGA MBILI YANGA YASHINDA 2-0 DAR
Saturday, November 26, 2022
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Benjami...
UCHAGUZI MKUU SIMBA SC KUFANYIKA MWAKANI
Saturday, November 26, 2022
MWENYEKITI wa kamati ya uchaguzi Simba, Boniface Lyamwike amesema uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo utafanyika Januari 29, mwaka 2023. Katika taar...
BODI YA LIGI YAMFUNGIA MECHI TATU BEKI MGANDA
Saturday, November 26, 2022
BEKI Mganda wa Singida Big Stars, Shafiq Batambuze amefungiwa mechi tatu na kutozwa faini ya Sh. 500,000 kwa kosa alilofanya kwenye mechi dh...
SINGIDA BIG STARS YAIPIGA RUVU 1-0 PALE PALE UHURU
Saturday, November 26, 2022
BAO la Frank Zakaria dakika ya 78 limeipa Singida Big Stars ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya ya ...
NAMUNGO FC YAIPIGA DODOMA JIJI 1-0 SINGIDA
Saturday, November 26, 2022
BAO la Abdulmalik Hamza dakika ya 82 limetosha kuipa Namungo FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu y...
Friday, November 25, 2022
GEITA GOLD YAICHAPA IHEFU 1-0 NA KUPANDA NNE BORA LIGI KUU
Friday, November 25, 2022
TIMU ya Geita Gold imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Nyankumbu mjini Gei...
Thursday, November 24, 2022
MBEYA CITY 1-1 MBEYA CITY (LIGI KUU TZ BARA)
Thursday, November 24, 2022
Wednesday, November 23, 2022
MBEYA CITY YATOA SARE NA SIMBA 1-1 SOKOINE
Wednesday, November 23, 2022
WENYEJI, Mbeya City wametoa sare ya kufungana bao 1-1 na Simba SC katika mchezo wa Ligi ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya...
SINGIDA STARS YAICHAPA KMC 1-0 LITI BAO LA KAGERE
Wednesday, November 23, 2022
BAO pekee la mshambuliaji Mnyarwanda, Meddie Kagere dakika ya 40 limetosha kuipa Singida Big Stars ushindi wa 1-0 dhidi ya KMC katika mchezo...
CHOMOKA NA NDINGA MPYAA MSIMU HUU WA KOMBE LA DUNIA
Wednesday, November 23, 2022
ZIKIWA zimepita siku chache tokea kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia huko nchini Qatar, K ampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch Tanz...
DODOMA JIJI 0-2 YANGA SC (LIGI KUU TZ BARA)
Wednesday, November 23, 2022
Tuesday, November 22, 2022
MAYELE APIGA MBILI YANGA YASHINDA 2-0 NA KUREJEA KILELENI LIGI KUU
Tuesday, November 22, 2022
MABAO ya mshambuliaji Mkongo, Fiston Kalala Mayele dakika ya 42 na 67 yameipa Yanga SC ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji FC Uwanj...
MAHOJIANO BIN ZUBEIRY NA PATRICK BETWELL WA SIMBA
Tuesday, November 22, 2022
Monday, November 21, 2022
MTIBWA SUGAR YAICHAPA POLISI TANZANIA 2-1 MANUNGU
Monday, November 21, 2022
WENYEJI, Mtibwa Sugar wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Manungu ...
KAGERA SUGAR YAICHAPA PRISONS 1-0 SOKOINE
Monday, November 21, 2022
BAO pekee la Meshack Abraham dakika ya 86 limeipa Kagera Sugar ushindi wa ugenini wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons kwenye mchezo w...
Sunday, November 20, 2022
AZAM FC YAIPIGA NAMUNGO 1-0 MAJALIWA NA KUREJEA KILELENI
Sunday, November 20, 2022
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Namungo FC usiku huu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Majal...
IHEFU SC YAICHAPA COASTAL UNION 2-1 UBARUKU
Sunday, November 20, 2022
WENYEJI, Ihefu SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa...
MBEYA CITY YATOA SARE YA 0-0 NA GEITA GOLD SOKOINE
Sunday, November 20, 2022
WENYEJI, Mbeya City wamelazimishwa sare ya bila mabao na Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini ...
SIMBA SC 4-0 RUVU SHOOTING (LIGI KUU TZ BARA)
Sunday, November 20, 2022
Saturday, November 19, 2022
BOCCO APIGA HAT TRICK SIMBA YASHINDA 4-0
Saturday, November 19, 2022
MABINGWA wa zamani, Simba SC wamepangwa kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ruvu Shooting usiku h...
TRA YAITUNUKU CHETI CHA ULIPAJI BORA WA KODI AZAM FC
Saturday, November 19, 2022
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imepatia cheti cha pongezi Azam FC kwa kufuata taratibu zote za kikodi kama taasisi kwa mwaka wa kifedha wa...
SHABIKI WA SIMBA NA LIVERPOOL ASHINDA SH MILIONI 11 ZA 10BET
Saturday, November 19, 2022
Mshindi wa jackpot ya katikati ya wiki wa 10bet apatikana Na Mwandisho wetu SHABIKI wa Simba SC na Liverpool ya England, Richard Mkumbo am...
YANGA SC 4-1 SINGIDA BIG STARS (LIGI KUU TZ BARA)
Saturday, November 19, 2022
Friday, November 18, 2022
BODI YAUFUNGIA UWANJA WA IHEFU SABABU YA PITCH MBOVU
Friday, November 18, 2022
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeufungia Uwanja wa Highland Estate unaotumiwa na klabu ya Ihefu SC kwa sababu ya kutokuwa na eneo zuri la...
Thursday, November 17, 2022
MAYELE APIGA HAT TRICK YANGA YAICHAPA SINGIDA 4-1
Thursday, November 17, 2022
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwa...
MBEYA CITY YATOA SARE 2-2 NA KAGERA SUGAR
Thursday, November 17, 2022
WENYEJI, Mbeya City wamelazimishwa sare ya 2-2 na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sokoine Ji...
POLISI TANZANIA YAICHAPA IHEFU 2-1 MBARALI
Thursday, November 17, 2022
TIMU ya Polisi Tanzania imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Highland...
SIMBA SC 1-0 NAMUNGO FC (LIGI KUU TZ BARA)
Thursday, November 17, 2022
MAHOJIANO BIN ZUBEIRY NA SHEKHAN RASHID
Thursday, November 17, 2022
Wednesday, November 16, 2022
PHIRI AFUNGA BAO PEKEE SIMBA YAILAZA NAMUNGO 1-0
Wednesday, November 16, 2022
BAO pekee la mshambuliaji Mzambia, Moses Phiri dakika ya 32 limeipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Namungo FC usiku huu Uwanja wa Benjami...
GEITA GOLD YAWATANDIKA PRISONS 4-2 SOKOINE
Wednesday, November 16, 2022
TIMU ya Geita Gold imeibuka na ushindi wa ugenini wa 4-2 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa...
MTIBWA SUGAR YAICHAPA COASTAL UNION 2-1 MANUNGU
Wednesday, November 16, 2022
WENYEJI, Mtibwa Sugar wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa ...
KAZE MKURUGENZI MPYA WA UFUNDI TIMU ZA VIJANA YANGA
Wednesday, November 16, 2022
UONGOZI wa klabu ya Yanga umemteua Mrundi, Cedric Kaze kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa timu za vijana chini ya umri wa miaka 17 na 20 pamoja na...
WAOGELEAJI 63 WA TANZANIA KUWANIA UBINGWA WA AFRIKA
Wednesday, November 16, 2022
WAOGELEAJ 63 wa timu ya taifa ya Tanzania (Tanzanites na Diamond) kesho (Alhamis Novemba 17) wanaanza kampeni ya kutwaa ubingwa wa michuan...
Tuesday, November 15, 2022
AZAMFC YAREJEA KILELENI BAADA YA KUIPIGA RUVU 1-0 CHAMAZI
Tuesday, November 15, 2022
BAO la penalti la mshambuliaji Mkongo, Idris Mbombo dakika ya 73 limetosha kuipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo...
DODOMA JIJI YAICHAPA KMC 2-1 UHURU
Tuesday, November 15, 2022
TIMU ya Dodoma Jiji imeibuka na ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya wenyeji, KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwan...
SIMBA YAAJIRI KOCHA WA MAKIPA MMOROCCO
Tuesday, November 15, 2022
KLABU ya Simba imemtambulisha Mmorocco, Zakaria Chlouha kuwa kocha mpya wa makipa akichukua nafasi ya Muharami Mohamed ‘Shilton’.
SIMBA SC YATOA TAARIFA MAALUM KUHUSU KOCHA WAKE WA MAKIPA
Tuesday, November 15, 2022
KLABU ya Simba imetoa taarifa maalum kuhusu kipa wa zamani wa klabu hiyo, Muharami Mohamed ambaye alikuwa anafanya kazi kama kocha wa makipa...
KOCHA WA MAKIPA SIMBA AKAMATWA KWA TUHUMA ZA DAWA ZA KULEVYA
Tuesday, November 15, 2022
MMILIKI wa kituo cha soka cha Cambianso Academy kilichopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam na Kocha wa Makipa wa Simba SC wanashikiliwa na Jes...
Monday, November 14, 2022
MAN UNITED YAICHAPA FULHAM 2-1 PALE PALE LONDON
Monday, November 14, 2022
TIMU ya Manchester United jana iliibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Fulham FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Craven ...
KAGERA SUGAR 0-1 YANGA SC (LIGI KUU TZ BARA)
Monday, November 14, 2022
Sunday, November 13, 2022
KINDA CLEMENT AING’ARISHA YANGA KIRUMBA
Sunday, November 13, 2022
MABINGWA watetezi, Yanga SC wamerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Kagera Sugar Uwanja w...
MBEYA CITY YALAZIMISHWA SARE 2-2 NA COASTAL UNION SOKOINE
Sunday, November 13, 2022
WENYEJI, Mbeya City wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa So...
NABI AWA KOCHA BORA LIGI KUU OKTOBA, SABILO MCHEZAJI BORA
Sunday, November 13, 2022
MTUNISIA wa Yanga SC, Nasreddine Nabi amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa mwezi Oktoba, huku mshambuliaji wa M...
WILLOCK AIFUNGIA BAO PEKEE NEWCASTLE YAICHAPA CHELSEA 1-0
Sunday, November 13, 2022
BAO pekee la mshambuliaji wa England, Joseph George Willock dakika ya 67 jana liliipa Newcastle United ushindi wa 1-0 dhidi ya Chelsea FC Uw...
NUNEZ APIGA MBILI LIVERPOOL YASHINDA 3-1
Sunday, November 13, 2022
WENYEJI, Liverpool jana wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield Jijini Liver...
BRENTFORD YAICHAPA MAN CITY 2-1 PALE PALE ETIHAD
Sunday, November 13, 2022
MABINGWA watetezi, Manchester City jana wamechapwa mabao 2-1 na Brentford FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad Jijini Ma...
ARSENAL YAANZA KULA 'UBARIDI' KILELENI ENGLAND
Sunday, November 13, 2022
TIMU ya Arsneal jana iliibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England mabao yote...
SIMBA QUEENS NAFASI YA NNE IMETOSHA LIGI YA MABINGWA
Sunday, November 13, 2022
TIMU ya Simba Queens jana ilimaliza nafasi ya nne kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Wanawake Afrika baada ya kuchapwa 1-0 na Bayelsa Queen...
SMBA SC 1-0 HEFU SC (LIGI KUU TZ BARA)
Sunday, November 13, 2022
Saturday, November 12, 2022
SIMBA SC YAICHAPA IHEFU SC 1-0 NA KUISHUSHIA YANGA NAFASI YA TATU
Saturday, November 12, 2022
BAO pekee la winga Msenegal, Pape Ousmane Sakho dakika ya 63 limeipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya ...
AZAM FC YAPANDA KILELENI LIGI KUU BAADA YA KUIPIGA 4-3 MTIBWA
Saturday, November 12, 2022
TIMU ya Azam FC imepanda kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa ugenini wa mabao 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar j...
Subscribe to:
Posts (Atom)