• HABARI MPYA

        Saturday, October 15, 2022

        SERENGETI BOYS YAIPIGA UGANDA KWA MATUTA CECAFA U17


        TANZANIA imefanikiwa kumaliza nafasi ya tatu kwenye michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Uganda leo Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SERENGETI BOYS YAIPIGA UGANDA KWA MATUTA CECAFA U17 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry