BONDIA Twaha Kassim Rubaha juzi usiku alimshinda Abdo Khalid wa Misri Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara na kutetea ubingwa wa UBO Afrika huku akiongeza taji la Mabara la UBO.
Kulikuwa kuna mapambano mengine kadhaa ya utangulizi, likiwemo la bondia 'kichekesho' Karim Mandonga wa Morogoro ambaye kama kawaida lichapwa kwa Knockout (KO) na Salim Abeid wa Tanga. Naye Adam Lazaro alimshinda kwa pointi mkongwe Francis Miyeyusho katika pambano lingine tamu la utangulizi usiku huo. Mtoto wa nyumbani, Mtwara Osama Arabi 'akafundishwa' ndondi na mkongwe wa Emmilian Patrick wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika pambano lililovutia wengi. Joseph Mchapeni akamchapa Paschal Goba kwa pointi katika pambano lingine lililoteka hisia za wengi usiku huo Uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Jude Bellingham's dark arts: Unaired footage shows Real Madrid superstar
getting in the ear of England team-mate Bukayo Saka to put him off his
penalty - a year on from trying to same trick on Harry Kane
-
Jude Bellingham may bear some responsibility for Bukayo Saka 's penalty
miss in Arsenal 's Champions League win over Real Madrid, unaired footage
has revea...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment