WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya 0-0 na jirani zao, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, zamani Namfua mjini Singida.
Dodoma Jiji inaokota pointi ya kwanza baada ya kufungwa mechi zote mbili za awali, wakati Singida Big Stars imetimiza pointi saba kufuatia kushinda mbili za awali.
Disregard fraudulent messages in circulation – JAMB tells students
-
From Fred Ezeh, Abuja Joint Admissions and Matriculation Board (JAMB)
wishes to inform the public particularly candidates that registered for the
2025 Un...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment