• HABARI MPYA

        Wednesday, September 28, 2022

        MSHAMBULIAJI MSERBIA, DEJAN ATANGAZA KUONDOKA SIMBA SC


        MSHAMBULIAJI Mserbia, Dejan Georgejevic ametangaza kuondoka Simba baada ya kuvunjiwa mkataba na klabu hiyo.
        “ Ninathibitisha kwamba Mkataba wangu wa Ajira umesitishwa kwa sababu za haki kutokana na ukiukwaji wa kimsingi wa Mkataba na Klabu,” ameandika Dejan katika ukurasa wake wa Instagram na kuongeza;
        “Asanteni mashabiki kwa support na upendo mlionipa,”.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MSHAMBULIAJI MSERBIA, DEJAN ATANGAZA KUONDOKA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry