TIMU ya Liverpool imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ajax katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Anfield. Mabao ya Liverpool yalifungwa na Mohamed Salah dakika ya 17 na Joel Matip dakika ya 89, wakati la Ajax limefungwa na Mohammed Kudus dakika ya 27.
Mehmet Ali on West Brom defeat
-
Mehmet Ali looked ahead to the Premier League 2 Playoffs after a 4-3 defeat
to West Brom in our final regular season game.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment