WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
2024/25 Ghana Premier League: Week 22 Match Report- Basake Holy Stars 1-0
Vision FC
-
Basake Holy Stars returned to winning ways with a hard-fought 1-0 victory
over Vision FC at the Ampain AAK II Sports Arena on Wednesday, thanks to a
first-...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment