• HABARI MPYA

        Friday, September 16, 2022

        CHAMA AKABIDHIWA TUZO NA MILIONI ZAKE 2 SIMBA SC


        KIUNGO Mzambia wa Simba SC, Clatous Chota Chama baada ya kukabidhiwa Tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mashabiki kwa mwezi Agosti sambamba na mfano wa Hundí ya Sh. Milioni 2 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya Emirate Aluminium Profile.


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: CHAMA AKABIDHIWA TUZO NA MILIONI ZAKE 2 SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry