• HABARI MPYA

        Tuesday, August 23, 2022

        YANGA WAHAMASISHA WATU KUSHIRIKI SENSA KESHO


        WACHEZAJI wa Yanga wakiwa na bango la kuhamasisha Watanzania kushiriki zoezi la kuhesabiwa, Sensa kesho nchini kabla ya mchezo wao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union Jumamosi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha ambao walishinda 2-0.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: YANGA WAHAMASISHA WATU KUSHIRIKI SENSA KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry