BONDIA Suleiman Kidunda juzi alipeperusha vyema bendera ya Tanzania baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Erick Tshimanga Katompa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kutwaa ubingwa wa WBF Intercontinental uzito wa Super Middle katika pambano lililofanyika Uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma.
Katika mapambano ya utangulizi,mkongwe Shaaban Kaoneka alimchapa kwa Knockout Karim Mandonga.
Aidha,George Bonabucha alimchapa Yusuph Ally wa Malawi kwa pointi.
Naye mwanamuziki aliyehamia kwenye ndondi,Khalid Chokoraa alitoka droo na Chiddy Benga
Naye Ezra Paul alimchapa Shaffi Mohamed kwa Knockout.
Report: 5-Star QB Bryce Underwood Gets 'Competitive' Michigan NIL Offer
amid LSU Buzz
-
LSU may have received a commitment from quarterback Bryce Underwood in
January, but the Tigers still have competition for the top recruit in the
Class of…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment