SIMBA SC YAMSAJILI BEKI NASSOR KAPAMA WA KAGERA SUGAR
KLABU ya Simba imemtambulisha beki Nassoro Kapama kutoka Kagera Sugar kuwa mchezaji wake wa nne mpya kuelekea msimu ujao. Kapama anakuwa mzawa wa pili mpya kusajiliwa Simba baada ya mshambuliaji Habib Kyombo kutoka Mbeya Kwanza iliyoshuka Daraja. Wengine ni kiungo Mnigeria, Victor Akpan kutoka Coastal Union na mshambuliaji Mzambia, Moses Phiri kutoka Zanaco ya kwao.
Ireland Grand Slam hopes ended by rampant France
-
France take control of the Six Nations title race as they score 34
unanswered points to beat Ireland in Dublin and end the home side's Grand
Slam hopes.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment