Mabao ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Ezekiel Eusebio dakika ya 29, Ladack Chasambi dakika ya 45, Said Mkopi dakika ya 84 na Omary Suleiman dakika ya 90 na ushei, wakati la Mbeya Kwanza limefungwa na Willie Thobias dakika ya 68.
Katika mchezo uliotangulia wa kusaka mshindi wa tatu, Azam FC imeifunga Coastal Union kwa penalti 4-3 baada ya sare ya 1-1 hapo hapo Chamazi.
0 comments:
Post a Comment