• HABARI MPYA

        Saturday, June 11, 2022

        OPA CLEMENT AWA MFUNGAJI BORA CECAFA CHALLENGE

        MSHAMBULIAJI wa Tanzania, Opa Clement Sanga ameibuka mfungaji bora wa michuano ya CECAFA Challenge Wanawake iliyofikia tamati leo Jinja nchini Uganda.
        Opa anayechezea klabu ya for Kayseri Kadın FK ya Uturuki amekuwa mfungaji bora kutokana na mabao 
        yake saba aliyefunga kwenye michuano hiyo, timu yake, Kilimanjaro Queens ikimaliza nafasi ya nne.
        Aidha, Kilimanjaro Queens iliyofungwa 2-1 na Ethiopia katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu leo imeshinda Tuzo ya Timu yenye Nidhamu.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: OPA CLEMENT AWA MFUNGAJI BORA CECAFA CHALLENGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry