JIJI la Dar es Salaam jana lilikuwa ni kijani na njano, wakati wa mapokezi ya mabingwa wa Ligi Kuu msimu huu, Yanga pale JNIA wakitokea Mbeya ambako juzi walikabidhiwa Kombe lao na msafara ulikwenda makao makuu ya klabu, Jangwani kupitia Msimbazi, kwenye klabu ya mahasimu wao, Simba na baadaye sherehe kwa mfadhili wao, GSM pale Samora kabla ya kumalizia Kidimbwi.
UFC fighter announces death of his brother in heartbreaking social media
post
-
A famous UFC fighter has announced the death of his brother in a
heartbreaking social media post on Tuesday morning, sharing a collage of
photos of the two...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment