KOCHA wa Simba, Suleiman Matola akimkabidhi jezi maalum kwa ishara ya kumuaga kiungo Mzambia, Rally Bwalya baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo dhidi ya KMC Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Bwalya anaondoka Simba kwenda kujiunga na Amazulu ya Afrika Kusini baada ya misimu miwili ya kuwa na Wekundu wa Msimbazi na ameaga vizuri akiisaidia timu kushinda 3-1 leo.
0 comments:
Post a Comment