// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BURUNDI YACHAPWA 1-0 NA CAMEROON MKAPA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BURUNDI YACHAPWA 1-0 NA CAMEROON MKAPA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, June 10, 2022

    BURUNDI YACHAPWA 1-0 NA CAMEROON MKAPA

    BAO pekee la mshambuliaji wa Lyon ya Ufaransa, Karl Louis-Brillant Toko-Ekambi dakika ya 30, limewapa Cameroon ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Burundi katika mchezo wa Kundi C kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika jana Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
    Kwa matokeo hayo, Simba Wasiofungika wanapanda kileleni baada ya kubeba pointi hizo tatu katika mechi yao ya kwanza, wakati Burundi inabaki na pointi yake moja kufuatia sare ya 1-1 ugenini na Namibia kwenye mechi ya kwanza.
    Timu nyingine kwenye kundi hilo, Kenya imeondolewa kutokana na kufungiwa na FIFA. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BURUNDI YACHAPWA 1-0 NA CAMEROON MKAPA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top