Kwa matokeo hayo, Simba Wasiofungika wanapanda kileleni baada ya kubeba pointi hizo tatu katika mechi yao ya kwanza, wakati Burundi inabaki na pointi yake moja kufuatia sare ya 1-1 ugenini na Namibia kwenye mechi ya kwanza.
BURUNDI YACHAPWA 1-0 NA CAMEROON MKAPA
Kwa matokeo hayo, Simba Wasiofungika wanapanda kileleni baada ya kubeba pointi hizo tatu katika mechi yao ya kwanza, wakati Burundi inabaki na pointi yake moja kufuatia sare ya 1-1 ugenini na Namibia kwenye mechi ya kwanza.
0 comments:
Post a Comment