KLABU ya Simba imeachana na kocha wake, Mspaniola Pablo Franco Martin baada ya makubaliano ya pande zote MBILI na kuelekea mechi zilizobaki kumalizia msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara timu itakuwa chini ya kocha Msaidizi, Suleiman Matola.Pamoja na Pablo aliyejiunga na timu hiyo Novemba mwaka jana, Simba pia imeachana na kocha wa mazoezi ya viungo Daniel De Castro Reyes ambaye pia ni Mspaniola.
Report: 5-Star QB Bryce Underwood Gets 'Competitive' Michigan NIL Offer
amid LSU Buzz
-
LSU may have received a commitment from quarterback Bryce Underwood in
January, but the Tigers still have competition for the top recruit in the
Class of…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment