FEI TOTO AIPELEKA YANGA FAINALI ASFC, SIMBA YALALA 1-0
VIGOGO, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya mahasimu, Simba SC jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo Mzanzibari, Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ dakika ya 25 akimalizia pasi ya kiungo Mganda, Khalid Aucho. Sasa Yanga itakutana na mshindi kati ya Azam FC na Coastal Union zitakazomenyana kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha katika Fainali Julai 2 huko huko Arusha.
Rivers: Nothing unlawful to impeach Fubara –Wike
-
• Minister hits gov for disrespecting Tinubu’s intervention, says PANDEF
most unreliable • Lawmakers bar gov from entering Assembly to present
budget F...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment