MMILIKI wa Chelsea, Roman Abramovich amekabidhi usimamizi na uendeshaji wa klabu yake hiyo kwa taasisi ya hisani, kuonyesha amekataa wito wa kumtaka aachie ngazi kufuatia nchi yake, Urusi kuivamia Ukraine. Bilionea huyo ambaye amekuwa mmiliki wa Chelsea tangu mwaka 2003, hajatoa tamko lolote juu ya vita huyo. Abramovich amewekeza kiasi cha zaidi ya dola za Kimarekani Bilioni 2 Chelsea, na kuifanya klabu hiyo na mafanikio Zaidi England. Tangu Abramovich aichukue Chelsea imeshinda mataji 19 jumla na ndio mabingwa wa sasa Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA.
Preview: Preston North End v Arsenal
-
Get the team news, key facts and stats, quotes, tactics, TV coverage and
more ahead of our Carabao Cup clash against Preston
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment