// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MKONGWE WA KONGO DEO KANDA ATUA MTIBWA SUGAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MKONGWE WA KONGO DEO KANDA ATUA MTIBWA SUGAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Sunday, December 26, 2021

        MKONGWE WA KONGO DEO KANDA ATUA MTIBWA SUGAR


        KLABU ya Mtibwa Sugar imemtambulisha winga mkongwe wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Deo Kanda A Mukok kuwa mchezaji wake mpya wa kwanza katika dirisha hili dogo la Usajili.
        Kanda pamoja na kuwika AS Vita ya Kinshasa na TP Mazembe, DC Motema Pembe za Lubumbashi, kwao DRC na Raja Casablanca ya Morocco, pia amewahi kucheza Simba  SC ya Dar es Salaam.
        WASIFU WA DEO KANDA
        Historia yake
        Jina kamiliDéogracias Kanda A Mukok
        Tarehe ya Kuzaliwa11 August 1989 (age 32)
        Mahali AlipozaliwaMatadi, Zaire
        Mwili wake1.71 m (5 ft 7+12 in)
        NafasiMshambuliaji 
        Klabu alizochezea
        Klabu ya Sasa[Mtibwa Sugar]
        Timu ya Vijana
        2005–2007Jack Trésor FC
        Timu za Wakubwa
        MwakaTimu Mechi(Mabao)
        2007–2009Motema Pembe2(0)
        2009–2013TP Mazembe40(15)
        2013–2014Raja Casablanca3(0)
        2014–2015Vita Club2(1)
        2015AEL0(0)
        2015–2019TP Mazembe
        2016→ 4 de Abril (loan)5(1)
        2019–Simba
        Timu ya Taifa
        2011–DRC21(4)


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MKONGWE WA KONGO DEO KANDA ATUA MTIBWA SUGAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry