// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA SC WAREJEA NYUMBANI KINYONGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA SC WAREJEA NYUMBANI KINYONGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Monday, September 20, 2021

        YANGA SC WAREJEA NYUMBANI KINYONGE


        KIKOSI cha
         Yanga kimarejea Alfajiri ya leo Dares Salaam baada ya ya kuchapwa 1-0 na wenyeji Rivers United jana katika mechi ya marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika Jijini Port Harcourt, Nigeria.


        Yanga imeaga mashindano hayo kwa kichapo cha jumla cha 2-0 kufuatia kuchapwa 1-0 Jumapili iliyopita katika mchezo wa kwanza Dar es Salaam – na sasa wanaelekeza nguvu zao kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani, Simba Jumamosi Uwanja Benjamin Mkapa, Jijini.

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: YANGA SC WAREJEA NYUMBANI KINYONGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry