MABINGWA mara nne Afrika, TP Mazembe wamewasili mchana wa leo Uwanja Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kutoka Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) tayari kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Simba SC kwenye tamasha la Simba Day kesho jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini.
Thomas Partey not bothered by Black Stars captaincy decision – GFA
-
Ghana Football Association (GFA) Communications Director, Henry Asante
Twum, has dismissed any concerns over Thomas Partey losing the Black Stars
captaincy...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment