WACHEZAJI wa Biashara United wakiwa mazoezini Uwanja wa mdogo wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya FC Dikhil ya Djibouti.
BIASHARA WAJIPANGA KUIMALIZA FC DIKHIL DAR
WACHEZAJI wa Biashara United wakiwa mazoezini Uwanja wa mdogo wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya FC Dikhil ya Djibouti.
0 comments:
Post a Comment