• HABARI MPYA

        Wednesday, August 25, 2021

        YANGA SC YAZINDUA JEZI NNE ZA MSIMU MPYA

        KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum Abdallah akionyesha jezi mpya ya nyumbani ya timu hiyo msimu ujao ambayo zimezinduliwa leo ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam

        Beki wa Yanga, Dickson Nickson Job akionyesha jezi mpya ya ugenini ya timu hiyo msimu ujao ambayo zimezinduliwa leo ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam

        Beki mpya Mkongo wa Yanga, Yannick Bangala Litombo akionyesha jezi mpya ya tatu ya timu hiyo msimu ujao ambayo zimezinduliwa leo ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam


        Viongozi wa Yanga wakionyesha jezi mpya za timu hiyo msimu ujao ambazo zimezinduliwa leo ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: YANGA SC YAZINDUA JEZI NNE ZA MSIMU MPYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry