MAKIPA wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa mazoezini leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam baada ya kuingia kambini leo kujiandaa na michezo ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Septemba 2 mjini Lubumbashi na Madagascar Septemba 7 nyumbani.
Declan Rice wins battle of England's alpha males: Arsenal's star man
squares up to Real Madrid rival in the Gunners' epic Champions League win
-
England team-mates Jude Bellingham and Declan Rice were involved in a
heated confrontation during Arsenal's Champions League win over Real Madrid
on Wednes...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment