MABINGWA wa Tanzania, Simba SC leo wametoa sare ya 2-2 na wenyeji, FAR Rabat katika mchezo wa kirafiki leo Jijini Rabat nchini Morocco.
Mabao ya Simba yamefungwa na viungo Hassan Dilunga dakika ya 54 na Papa Msenegal Ousmane Sakho dakika ya 81 baada ya FAR Rabat kutangulia kwa mabao ya Mohsinne Abba dakika ya 14 na ya 26.
Simba SC imeweka kambi Rabat kwa zaidi ya wiki sasa ikijiandaa na msimu mpya, lengo lao kuendeleza mafanikio yao yaliyodumu kwa misimu minne iliyopita.
Recapitalisation, tariff war: No cause for alarm, banks on sound footing
–CBN
-
• UBA GMD lists hurdles to achieving $1trn economy From Uche Usim and
Adanna Nnamani, Abuja As the race for commercial banks’ recapitalisation
peaks and ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment