// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
CLATOUS CHAMA NA TUISILA KISINDA WOTE KUCHEZA TIMU MOJA MSIMU UJAO, RSB BERKANE YA MOROCCO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECLATOUS CHAMA NA TUISILA KISINDA WOTE KUCHEZA TIMU MOJA MSIMU UJAO, RSB BERKANE YA MOROCCO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
CLATOUS CHAMA NA TUISILA KISINDA WOTE KUCHEZA TIMU MOJA MSIMU UJAO, RSB BERKANE YA MOROCCO
KIUNGO Mzambia, Clatous Chama na winga Mkongo, Tuisila Kisinda watacheza timu moja msimu ujao, RSB Berkane ya Morocco. Wawili hao wote wanatokea klabu za Tanzania, Chama SC na Kisinda Yanga SC ambao ni wapinzani wa jadi na wakati wowote klabu hizo zitatangaza rasmi kuwatoa. Bado Simba ipo kwenye hatua za mwisho pia za kumuuza nyota wake kutoka Msumbiji, Luis Miquissone kwenda Al Ahly ya Misri, wakati kiungo Mkongo wa Yanga, Tonombe Mukoko anaweza kuondoka pia.
Preview: Preston North End v Arsenal
-
Get the team news, key facts and stats, quotes, tactics, TV coverage and
more ahead of our Carabao Cup clash against Preston
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment