Mshambuliaji Jeremiah Juma dakika ya 73, kabla ya Abeid Athumani kuisawazishia Namungo FC dakika ya 81.
Kwa matokeo hayo, Prisons inaendelea kushika nafasi ya saba kwa pointi zake 41 sasa sawa na Namungo ya nane, Polisi Tanzania ya sita na KMC ya tano zikizidiana tu wastani wa mabao.
0 comments:
Post a Comment