Jumla ya wachezaji 27 wameitwa katika kikosi cha awali cha Twiga Stars kitakachoingia Kambini Mei 17, 2021 kujiandaa na mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
JKT Queens na Ruvuma Queens ni timu nyingine zilizotoa wachezaji sita, wakati Mlandizi Queens na Fountain Gate zimetoa mchezaji mmoja mmoja huku Mwanahamisi Omar ya 'Gaucho' wa C.A.K. ya Morocco ni mchezaji pekee anayecheza nje aliyeitwa.
0 comments:
Post a Comment