
Monday, May 31, 2021

MAHAKAMA ya Usuluhishi wa Kimataifa ya Michezo (CAS) imetupilia mbali pingamizi la winga Mghana, Bernard Morrison kutaka kesi iliyofunguliwa...
SIMBA SC KUONDOKA KESHO KWA NDEGE KWENDA MWANZA KUMENYANA NA RUVU SHOOTING MECHI YA LIGI KUU ALHAMISI
Monday, May 31, 2021
MABINGWA watetezi, Simba SC wanatarajiwa kuondoka Dar es Salaam kesho asubuhi kwa ndege kwenda Mwanza Alhamisi watacheza mechi ya Ligi Kuu ...
FREDDY FELIX MINZIRO ATEULIWA KOCHA BORA WA LIGI DARAJA LA KWANZA BAADA YA KUIPA GEITA GOLD UBINGWA
Monday, May 31, 2021
KOCHA mzoefu, Freddy Felix Kataraiya Minziro ameteuliwa Kocha Bora wa msimu wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara baada ya kuiwezesha tim...
YANGA SC YAACHANA NA KIUNGO MUANGOLA CARLOS CARLINHOS ALIYEKUWA ANAANDAMWA NA MAJERUHI MFULULIZO
Monday, May 31, 2021
KLABU ya Yanga imemuacha kiungo Muangola, Carlos Sténio Fernandes Guimarães do Carmo, maarufu kama Carlinhos kwa makubaliano ya pande zote...
Sunday, May 30, 2021
GEITA GOLD NDIYO MABINGWA WA LIGI DARAJA LA KWANZA BAADA YA KUICHAPA MBEYA KWANZA 1-0 LEO UWANJA WA UHURU
Sunday, May 30, 2021
TIMU ya Geita Gold imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbeya Kwanza katika Fainali leo ...
PAMBA SC NA TRANSIT CAMP ZAPANGIWA WAPINZANI VITA YA KUWANIA KUPANDA LIGI KUU MSIMU UJAO
Sunday, May 30, 2021
MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Muungano, Pamba FC ya Mwanza itamenyana na timu itakayomaliza nafasi ya 13 kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bar...
YANGA SC NA GSM KWA PAMOJA WAIPONGEZA AZAM MEDIA LIMITED KWA KUINGIA MKATABA WA BILIONI 225.6 KUONYESHA LIGI KUU
Sunday, May 30, 2021
KLABU ya Yanga imeipongeza Azam Media Limited kwa kusaini mkataba mpya mnono na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wa Haki za Matangazo ya ...
NAMUNGO FC 1-3 SIMBA SC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Sunday, May 30, 2021
CHELSEA BINGWA ULAYA, YAIPIGA MAN CITY 1-0 URENO
Sunday, May 30, 2021
TIMU ya Chelsea imefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester City usiku huu Uwanja wa Do Dr...
Saturday, May 29, 2021
PAMBA YABISHA HODI LIGI KUU BAADA YA KUITANDIKA KEN GOLD 4-1 LEO UWANJA NYAMAGANA JIJINI MWANZA
Saturday, May 29, 2021
MABINGWA wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Pamba SC wamefanikiwa kufuzu hatua ya kuwania kupanda Ligi Kuu msimu ujao baada ya u...
BOCCO, MUGALU NA MORRISON WAFUNGA SIMBA SC YATOKA NYUMA NA KUITANDIKA NAMUNGO FC 3-1 RUANGWA
Saturday, May 29, 2021
MABINGWA watetezi, Simba SC wametoka nyuma na kushinda 3-1 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa...
TANZANIA YAKAMILISHA MECHI ZAKE KWA KUCHAPWA 4-2 NA MISRI FAINALI ZA SOKA LA UFUKWENI NCHINI SENEGAL
Saturday, May 29, 2021
TANZANIA imeambulia kipigo cha mabao 4-2 mbele ya Misri katika mchezo wa kuwania nafasi ya tano kwenye Fainali za Afrika za soka la Ufukwen...
MWAKINYO AMPIGA MUANGOLA KWA KO NA KUTWAA TAJI LA WBC
Saturday, May 29, 2021
BONDIA Mtanzania Hassan Mwakinyo ametwaa taji la WBC Afrika uzito wa Super Welter baada ya kumpiga kwa Knockout (KO) raundi ya tisa Muangola...
Friday, May 28, 2021
DILUNGA WA SIMBA SC AENGULIWA KIKOSI CHA TAIFA STARS NAFASI YAKE APEWA MUDATHIR YAHYA WA AZAM FC
Friday, May 28, 2021
KIUNGO wa Simba SC, Hassan Dilunga ameenguliwa kwenye kikosi kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kilichotajwa leo na kocha Mde...
KIM POULSEN AITA 27 TAIFA STARS, WANANE WANATOKA SIMBA SC...AZAM NA YANGA ZATOA WANNE KILA TIMU
Friday, May 28, 2021
KOCHA Mdenmark, Kim Paulsen ametaja kikosi cha wachezaji 27 cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoingia kambini Juni 5, mwaka...
Thursday, May 27, 2021
KAMATI YA UTENDAJI YAKUTANA LEO DAR NA KUAMUA UCHAGUZI MKUU WA TFF UFANYIKE AGOSTI 7, MWAKA HUU
Thursday, May 27, 2021
UCHAGUZI Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) utafanyika Agosti 7, mwaka huu, imeelezwa. Hayo yamesemwa na Rais wa TFF, Wallace Karia ...
SIMBA SC WAZAWADIWA SH MILIONI 50 KWA KUFIKA HATUA YA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Thursday, May 27, 2021
MDHAMINI mkuu wa Simba kampuni ya Sportpesa leo imeikabidhi klabu hiyo zawadi ya Sh. Milioni 50 kama zawadi kwa kufika hatua ya Robo Faina...
TFF YASEMA KLABU ITAKAYOKUWA INADAIWA NA MCHEZAJI HAITASHIRIKI LIGI KUU MSIMU UJAO
Thursday, May 27, 2021
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema klabu ambayo itakuwa inadaiwa na mchezaji haitaruhusiwa kushiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara msim...
MMOJA TU APITISHWA KUGOMBEA UENYEKITI WA CHAMA CHA WANASOKA TANZANIA UTAKAOFANYIKA MWEZI UJAO NCHINI
Thursday, May 27, 2021
MWENYEKITI wa Chama cha Wachezaji Tanzania (SPUTANZA) Mussa Mohamed Kisoki pekee amepitishwa kugombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi utak...
SIMBA SC 3-0 DODOMA JIJI FC (KOMBE LA TFF)
Thursday, May 27, 2021
TANZANIA YATUPWA NJE FAINALI ZA SOKA LA UFUKWENI AFRIKA BAADA YA KUCHAPWA 3-1 NA SENEGAL JIJINI DAKAR
Thursday, May 27, 2021
TANZANIA imetupwa nje ya Fainali za Soka la Ufukweni Afrika baada ya kuchapwa 3-1 na wenyeji, Senegal katika mchezo wa Kundi A jana fukwe z...
VILLARREAL WAISHINDA MAN UNITED NA KUTWAA TAJI LA EUROPA LEAGUE
Thursday, May 27, 2021
TIMU ya Villarreal ya Hispania imefanikiwa kutwaa taji la UEFA Europa League baada ya ushindi wa penalti 11-10 dhidi ya Manchester United y...
Wednesday, May 26, 2021
BOCCO APIGA MBILI SIMBA SC YAICHAPA DODOMA JIJI 3-0 NA KUTINGA NUSU FAINALI KOMBE LA TFF, ITAKUTANA NA AZAM SONGEA
Wednesday, May 26, 2021
MABINGWA watetezi, Simba SC wamefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) maarufu kama Azam Sports Federat...
NAMUNGO FC YAICHIMBIA KABURI GWAMBINA FC BAADA YA KUICHAPA 1-0 LEO RUANGWA BAO PEKEE LA LUSAJO
Wednesday, May 26, 2021
BAO la dakika ya 90 na ushei la mshambuliaji Relliant Lusajo limetosha kuipa Namungo FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Gwambina FC katika mchezo w...
AZAM FC YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA TFF BAADA YA KUITANDIKA RHINO RANGERS 3-1 LEO UWANJA WA KAMBARAGE MJINI SHINYANGA
Wednesday, May 26, 2021
TIMU ya Azam FC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Rhino Ran...
MWADUI FC 0-2 YANGA SC (KOMBE LA TFF)
Wednesday, May 26, 2021
MAHOJIANO MAALUM BIN ZUBEIRY NA YUSSUF MGWAO, MCHEZAJI WA ZAMANI WA SIMBA SC
Wednesday, May 26, 2021
Tuesday, May 25, 2021
KASEKE APIGA ZOTE MBILI YANGA SC YAICHAPA MWADUI FC 2-0 NA KUTINGA NUSU FAINALI AZAM SPORTS FEDERATION CUP
Tuesday, May 25, 2021
VIGOGO, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Mwadui FC ...
AZAM TV WAINGIA MKATABA MPYA MNONO NA TFF SHILINGI BILIONI 225.6 KURUSHA MECHI ZA LIGI KUU YA TANZANIA BARA MIAKA 10
Tuesday, May 25, 2021
KAMPUNI ya Azam Media Limited imeingia mkataba mpya wa haki za matangazo ya Televisheni katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara na Shirikisho la So...
TANZANIA YAANZA VIBAYA FAINALI ZA SOKA LA UFUKWENI AFRIKA BAADA YA KUCHAPWA 4-3 NA UGANDA JIJI DAKAR
Tuesday, May 25, 2021
TANZANIA jana ilianza vibaya Fainali ya soka la Ufukweni baada ya kufungwa 4-3 na Uganda kwenye mchezo wa Kundi A fukwe za Bahari ya Atlanti...
Sunday, May 23, 2021
AGUERO APIGA MBILI MAN CITY YAICHAPA EVERTON 5-0
Sunday, May 23, 2021
MABINGWA, Manchester City wamekamilisha msimu wa Ligi Kuu ya England kwa ushindi wa 5-0 dhidi ya Everton Uwanja wa Etihad. Mabao ya Man City...
MATA APIGA LA USHINDO KWA PENALTI MAN UNITED LE OLD TEAGF
Sunday, May 23, 2021
TIMU ya Manchester United imekamilisha msimu wa Ligi Kuu ya England kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers leo Uwanja ...
MANE APIGA ZOTE MBILI LIVERPOOL YAICHAPA CRYSTAL PALACE 2-0
Sunday, May 23, 2021
WENYEJI, Liverpool wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace Uwanja wa Anfield. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Sadio Mané dakika...
ASTON VILLA YAWACHAPA CHELSEA 2-1 VILLA PARK
Sunday, May 23, 2021
TIMU ya Chelsea imekamilisha msimu wa Ligi Kuu ya England kwa kuchapwa 2-1 na wenyeji, Aston Villa Uwanja wa Villa Park Jijini Birmingham. M...
PEPE APIGA ZOTE MBILI ARSENAL YAICHAPA BRIGHTON & HOVE ALBION 2-0
Sunday, May 23, 2021
MABAO ya Nicolas Pepe dakika ya 49 na 60 leo yameipa Arsenal ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion katika mchezo wa mwisho wa L...
BIASHARA UNITED YAITWANGA NAMUNGO FC 2-0 MUSOMA NA KUTINGA NUSU FAINALI AZAM SPORTS FEDERATION CUP
Sunday, May 23, 2021
TIMU ya Biashara United imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation ...
ROBERT LEWANDOWSKI AVUNJA REKODI YA GERD MULLER BUNDESLIGA
Sunday, May 23, 2021
MSHAMBULIAJI Robert Lewandowski jana amefikisha mabao 41 msimu huu, Bayern Munich ikiichapa Augsburg 5-2 na kuvunja rekodi ya mabao mengi m...
ATLETICO MADRID WATWAA TAJI LA LIGA KWA POINTI MBILI ZAIDI YA REAL
Sunday, May 23, 2021
TIMU ya Atletico Madrid imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Hispania, maarufu kama La Liga baada ya ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya Re...
Saturday, May 22, 2021
MSUVA ATOKEA BENCHI NA KUISAIDIA WYDAD CASABLANCA KUTINGA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Saturday, May 22, 2021
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva ametokea benchi zikiwa zimesalia dakika tatu na kuiwezesha klabu yake, Wydad Ath...
SIMBA SC 3-0 KAIZER CHIEFS (LIGI YA MABINGWA AFRIKA)
Saturday, May 22, 2021
BOCCO APIGA MBILI SIMBA SC YAITANDIKA KAIZER CHIEFS 3-0 LAKINI YATOLEWA LIGI YA MABINGWA
Saturday, May 22, 2021
NAHODHA John Raphael Bocco amefunga mabao mawili Simba SC ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini katika mchezo ...
Friday, May 21, 2021
PRINCE DUBE NA MUDATHIR YAHYA WAFUNGA AZAM FC YAIZIMA BIASHARA UNITED CHAMAZI, YAICHAPA 2-0
Friday, May 21, 2021
AZAM FC imeibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Biashara United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Azam C...
Thursday, May 20, 2021
NYOTA WALIOTAMBA LIGI KUU WAKIWEMO KADO, MOURAD NA TUMBO WABEBWA TIMU YA TAIFA YA SOKA LA UFUKWENI FAINALI ZA AFRIKA SENEGAL
Thursday, May 20, 2021
NYOTA waliotamba katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kipa Shaaban Hassan Kado, mabeki Ismail Adam Gambo na Said Hussein Mourad na mshambuliaj...
IHEFU SC YAICHAPA DODOMA JIJI 1-0 UBARUKU NA KUJIONDOA KWENYE ENEO LA HATARI YA KUSHUKA DARAJA LIGI KUU
Thursday, May 20, 2021
BAO pekee la Andrew Simchimba dakika ya 18 kwa penalti jioni ya leo limetosha kuipa Ihefu SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC Uwanja ...
JKT TANZANIA 0-2 YANGA SC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Thursday, May 20, 2021
PEPE APIGA MBILI ARSENAL YAICHAPA CRYSTAL PALACE 3-1
Thursday, May 20, 2021
TIMU ya Arsenal imeibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Se...
LIVERPOOL YAICHAPA BURNLEY 3-0 NA KUPANDA TOP FOUR ENGLAND
Thursday, May 20, 2021
MABINGWA wa msimu uliopita, Liverpool wameshinda mabao 3-0 dhidi ya Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Tur...
Wednesday, May 19, 2021
YACOUBA SOGNE NA TUISILA KISINDA WAFUNGA JAMHURI YANGA SC YAWACHAPA JKT TANZANIA 2-0 DODOMA
Wednesday, May 19, 2021
VIGOGO, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Jamhuri Jijin...
Subscribe to:
Posts (Atom)