
Friday, April 30, 2021

VIGOGO, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (AS...
SIMBA SC KUMENYANA NA KAIZER CHIEFS YA AFRIKA KUSINI ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA MEI 15
Friday, April 30, 2021
TIMU ya Simba SC ya Tanzania itakutana na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini katika Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya droo iliyopan...
MWADUI FC NAYO YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA TFF BAADA YA KUICHAPA COASTAL UNION 2-0 LEO SHINYANGA
Friday, April 30, 2021
TIMU ya Mwadui FC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Coastal Uni...
BEKI MKONGWE WA KULIA NCHINI, SHOMARI KAPOMBE ASAINI MKATABA MPYA WA KUENDELEA NA KAZI SIMBA SC
Friday, April 30, 2021
BEKI mkongwe wa kulia nchini, Shomari Kapombe amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Simba SC.
MAN UNITED YATOKA NYUMA 2-1 NA KUICHAPA ROMA 6-2 OLD TRAFFORD
Friday, April 30, 2021
TIMU ya Manchester United imetoka nyuma kwa 2-1 na kushinda 6-2 dhidi ya AS Roma katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya UEFA Europa Lea...
Thursday, April 29, 2021
BARCELONA YACHAPWA 2-1 NA GRANADA PALE PALE CAMP NOU
Thursday, April 29, 2021
WENYEJI, Barcelona wamechapwa 2-1 na Granada katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camp Nou. Mabao ya Granada yamefungwa na Darwin Machís ...
AZAM FC NA BIASHARA UNITED ZATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA TFF BAADA YA KUZITOA POLISI TANZANIA NA RUVU SHOOTING LEO
Thursday, April 29, 2021
TIMU ya Azam FC imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Polisi Tanzan...
NAMUNGO FC YAKAMILISHA MECHI ZAKE ZA KUNDI D KUCHAPWA 1-0 NA PYRAMIDS FC CAIRO
Thursday, April 29, 2021
TIMU ya Namungo FC imekamilisha mechi zake za Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuchapwa 1-0 na wenyeji, Pyramids FC usiku wa Jumatano...
MANCHESTER CITY YAICHAPA PSG 2-1 PALE PALE PARIS
Thursday, April 29, 2021
TIMU ya Manchester City imetoka nyuma na kuwachapa wenyeji Paris Saint-Germain katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa U...
Wednesday, April 28, 2021
MANAHODHA WOTE WA SIMBA SC, JOHN BOCCO NA MOHAMMED HUSSEIN 'TSHABALALA' WASAINI MIKATABA MIPYA
Wednesday, April 28, 2021
MANAHODHA wa Simba SC, John Raphael Bocco na Mohammed Hussein 'Tshabalala' wote wamesaini mikataba mipya ya kuendelea kuitumikia kla...
MBEYA CITY YAFANYA BALAA ZITO LIGI KUU YA BARA, YAWATANDIKA JKT TANZANIA MABAO 6-1 UWANJA WA SOKOINE
Wednesday, April 28, 2021
TIMU ya Mbeya City imeibuka na ushindi wa 6-1 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sokoi...
SIMBA SC 3-1 DODOMA JIJI FC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Wednesday, April 28, 2021
REAL MADRID YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA CHELSEA NYUMBANI
Wednesday, April 28, 2021
WENYEJI, Real Madrid wamelazimishwa sare ya 1-1 na Chelsea katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana U...
Tuesday, April 27, 2021
MAHOJIANO MAALUM BIN ZUBEIRY NA FAROUK RAMADHANI, KIPA WA ZAMANI WA SIMBA SC
Tuesday, April 27, 2021
SIMBA SC YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LIGI KUU, YAICHAPA DODOMA JIJI 3-1 NA KUPOTELEA ANGANI
Tuesday, April 27, 2021
MABINGWA watetezi, Simba SC wameendeleza wimbi la ushindi baada ya kuitandika Dodoma Jiji FC 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bar...
YANGA SC WATUA MBEYA KWA NDEGE KUJIANDAA KUIVAA PRISONS IJUMAA KOMBE LA TFF SUMBAWANGA
Tuesday, April 27, 2021
KIKOSI cha Yanga kimewasili Jijini Mbeya leo kwa maandalizi ya mchezo wake wa hatua ya 16 Bora ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TF...
MWADUI FC YAKUMBUKA SHUKA KUMEKUCHA, YAICHAPA GWAMBINA 2-1 PALE PALE MISUNGWI
Tuesday, April 27, 2021
TIMU ya Mwadui FC imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Gwambina FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Gwambina, Mi...
Monday, April 26, 2021
BIASHARA UNITED YAICHAPA KAGERA SUGAR 2-1 NA POLISI TANZANIA NAYO YAIPIGA MTIBWA PALE PALE MOROGORO
Monday, April 26, 2021
TIMU ya Biashara United imezinduka na kuichapa Kagera Sugar 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Karume mjini Musoma mko...
GRIEZMANN APIGA MBILI BARCA YASHINDA 2-1 LA LIGA
Monday, April 26, 2021
MABAO ya Mfaransa Antoine Griezmann dakika za 28 na 35 jana yaliipa Barcelona ushindi wa 2-1 dhidi ya Villarreal ambayo bao lake lilifungwa ...
YANGA SC 0-1 AZAM FC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Monday, April 26, 2021
Sunday, April 25, 2021
PRINCE DUBE AWAMALIZA YANGA DAKIKA ZA LALA SALAMA, AIFUNGIA BAO PEKEE AZAM FC YASHINDA 1-0 DAR
Sunday, April 25, 2021
BAO pekee la mshambuliaji Mzimbabwe, Prince Dube Mpumelelo dakika ya 86 limeipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya vigogo, Yanga SC katika mc...
MAN UNITED YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA LEEDS UNITED
Sunday, April 25, 2021
TIMU ya Manchester United imelazimishwa sare ya 0-0 na Leeds United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Elland Road Elland ...
MAN CITY WATWAA CARABAO YA NNE MFULULIZO ENGLAND
Sunday, April 25, 2021
TIMU ya Manchester City imetwaa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup kwa mara ya nne mfululizo kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya...
TANZANIA PRISONS YAIBUKA NA USHINDI WA 1-0 DHIDI YA RUVU SHOOTING LEO SUMBAWANGA
Sunday, April 25, 2021
BAO pekee la Jeremiah Juma Mgunda dakika ya 51 limeipa ushindi wa 1-0 Tanzania Prisons dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya T...
SIMCHIMBA AIFUNGIA MABAO MAWILI IHEFU SC YAICHAPA COASTAL UNION 3-0 UWANJA WA HIGHLAND ESTATE
Sunday, April 25, 2021
TIMU ya Ihefu SC imeichapa Coastal Union ya Tanga mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Highland Estate, Ubaruk...
GWAMBINA FC 0-1 SIMBA SC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Sunday, April 25, 2021
WERNER AING'ARISHA CHELSEA, YAICHAPA WEST HAM UNITED 1-0
Sunday, April 25, 2021
BAO pekee la Timo Werner dakika ya 43 leo limeipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya En...
Saturday, April 24, 2021
LIVERPOOL YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA NEWCASTLE ANFIELD
Saturday, April 24, 2021
MABINGWA waliopoteza nafasi ya kutetea taji, Liverpool leo wamelazimishwa sare ya 1-1 na Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Engla...
SIMBA SC WAPANDA KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA BAADA YA KUICHAPA GWAMBINA FC 1-0 MISUNGWI
Saturday, April 24, 2021
MABINGWA watetezi, Simba SC wamepanda kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Gwambina FC Uwanja ...
MBEYA CITY WAITWANGA NAMUNGO FC 1-0 KATIKA LIGI KUU PALE PALE UWANJA WA MAJALIWA, RUANGWA
Saturday, April 24, 2021
BAO pekee la Juma Luizio dakika ya 12 limeipa Mbeya City ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania...
MCHEZAJI WA BIASHARA UNITED YA MARA MSIMU ULIOPITA AFARIKI DUNIA AKIWA MAZOEZINI MUSOMA
Saturday, April 24, 2021
MCHEZAJI wa zamani wa klabu ya Biashara United Mara, Sospeter Maiga Mandala amefariki dunia asubuhi ya leo wakati akifanya mazoezi katika uw...
LENO AJIFUNGA ARSENAL YACHAPWA 1-0 NA EVERTON EMIRATES
Saturday, April 24, 2021
BAO la kujifunga la kipa Mjerumani, Bernd Leno dakika ya 72 jana limeipa Everton ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji, Arsenal katika m...
Friday, April 23, 2021
WAJUMBE WA KAMATI YA KATIBA NA MABADILIKO WAKABIDHI RIPOTI YA KATIBA NA MUUNDO MPYA
Friday, April 23, 2021
WAJUMBE wa Kamati ya Katiba na Kamati ya Mabadiliko wakikabidhi ripoti ya katiba na muundo pendekezwa kwa Mwenyekiti wa Yanga SC, Dk. Mshind...
MEDDIE KAGERE NA PRINCE DUBE WAKABANA KOO KUWANIA UFUNGAJI BORA WA LIGI KUU TANZANIA BARA
Friday, April 23, 2021
WASHAMBULIAJI wa kigeni, Mnyarwanda Meddie Kagere wa Simba SC na Mzimbabwe, Prince Dube Mpumelelo wa Azam FC ndiyo wanaongoza kwa mabao ka...
KIUNGO MSTAAFU NYOTA NCHINI, AMRI KIEMBA KATIKA KOZI YA NGAZI YA KATI YA UKOCHA INAYOENDELEA KARUME
Friday, April 23, 2021
KIUNGO wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Amri Kiemba ni miongoni mwa washiriki wa Kozi ya Ukocha ngazi ya kati inayoendelea kwa mafunzo ya...
MESSI APIGA MBILI BARCELONA YAICHAPA GETAFE 5-2 LA LIGA
Friday, April 23, 2021
MUARGENTINA Lionel Messi jana amefunga mabao mawili, Barcelona ikiibuka na ushindi wa 5-2 dhidi ya Getafe kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa...
MANCHESTER CITY YAZIDI KUUKARIBIA UBINGWA LIGI KUU YA ENGLAND
Friday, April 23, 2021
TIMU ya Manchester City imezidi kuukaribia ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Aston Villa juzi Uwanja ...
KOCHA WA RAJA CASABLANCA ATUA YANGA SC KUKAMILISHA BENCHI LA UFUNDI LA WAARABU WATUPU
Friday, April 23, 2021
ALIYEWAHI kuwa kocha wa mazoezi ya utimamu wa mwili wa Raja Club Athletic ya Morocco, Jawad Sabri amejiunga na vigogo wa soka nchini, Yanga ...
SAID MOURAD 'MWEDA' AIBUKIA KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA SOKA LA UFUKWENI KUJIANDAA NA FAINALI ZA AFRIKA
Friday, April 23, 2021
BEKI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Said Mourad 'Mweda' aliyewahi kuchezea za Ashanti United, Simba SC, Azam FC za Dar es Salaa...
RAIS MAMA SAMIAH SULUHU HASSAN AAHIDI KUSAIDIA MAANDALIZI YA TIMU ZA TAIFA ZIKAFANYE VYEMA KIMATAIFA
Friday, April 23, 2021
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samiah Suluhu Hassan ameahidi kutenga bajeti ya kusaidia michezo kwa ujumla, ikiwemo timu zote...
Thursday, April 22, 2021
AZAM FC YALAZIMISHA SARE YA 2-2 NA WENYEJI, DODOMA JIJI FC JAMHURI, IHEFU YAICHAPA PRISONS 1-0 UBARUKU
Thursday, April 22, 2021
TIMU ya Azam FC imelazimishwa sare ya 2-2 na wenyeji, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Jamhuri Jijini D...
Subscribe to:
Posts (Atom)