// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MBAPPE AKOSA PENALTI, LAKINI UFARANSA YASHINDA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MBAPPE AKOSA PENALTI, LAKINI UFARANSA YASHINDA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Monday, March 29, 2021

        MBAPPE AKOSA PENALTI, LAKINI UFARANSA YASHINDA 2-0


        PAMOJA na mshambuliaji wake nyota, Kylian Mbappe kukosa penalti dakika ya 75, lakini Ufaransa jana iliibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Kazakhstan mabao ya Ousmane Dembele dakika ya 19 na Sergiy Maliy aliyejifunga dakika ya 44 katika mchezo wa Kundi D kufuzu Fainali za Kombe la Dunia Uwanja wa Astana Arena mjini Nur-Sultan.
        Mabingwa wa dunia, Ufaransa wanafikisha pointi wanafikisha pointi nne baada ya mechi mbili na kuendelea kuongoza kundi kwa pointi mbili zaidi ya Finland na Ukraine, wakati Bosnia-Herzegovina ina pointi moja na Kazakhstan haina kitu
         
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MBAPPE AKOSA PENALTI, LAKINI UFARANSA YASHINDA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry