MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski jana amefunga mabao matatu Bayern Munich ikiibuka na ushindi wa 4-2 dhidi ya Borussia Dortmund katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich – bao lingine la Bavarian likifungwa na Leon Goretzka, wakati ya Dortmund yalifungwa na kinda nyota wa miaka 20, Mnorway Erling Haaland PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Max Verstappen likes Instagram post suggesting Christian Horner's brutal
axeing of team-mate Liam Lawson is 'BULLYING', as sources reveal his true
feelings on Red Bull 'chaos'
-
It comes as Mail Sport was told by sources close to the Dutch racing driver
that Verstappen had been left 'shaken' by Christian Horner 's decision to
sack ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment