BAADA ya Gwambina FC kulazimishwa suluhu na Polisi Tanzania Misungwi mkoani Mwanza jana – Ligi Kuu ya Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo kwa mechi moja zaidi, Tanzania Prisons wakiwakaribisha JKT Tanzania kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Nelson Mandela, SUmbawanga mkoani Rukwa.
Emma Raducanu falls to Jessica Pegula in dramatic Miami Open loss after
suffering with dizziness
-
Emma Raducanu's run at the Miami Open is over after she was beaten 6-4,
6-7, 6-2 by No 4 seed Jessica Pegula in the quarterfinals, who will avoid
No 2 seed...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment