// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); WOLVERHAMPTON WANDERERS YAICHAPA ARSENAL 2-1 ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE WOLVERHAMPTON WANDERERS YAICHAPA ARSENAL 2-1 ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, February 03, 2021

        WOLVERHAMPTON WANDERERS YAICHAPA ARSENAL 2-1 ENGLAND


        TIMU ya Wolverhampton Wanderers jana imeichapa Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Molineux, West Midlands.
        Arsenal ilimaliza pungufu baada ya wachezaji wake wawili kutolewa kwa kadi nyekundu, David Luiz dakika ya 45 na ushei na Bernd Leno dakika ya 72, wakati mabao ya Wolves yalifungwa na Ruben Neves kwa penalti dakika ya 45 na ushei na Joao Moutinho dakika ya 49
         
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: WOLVERHAMPTON WANDERERS YAICHAPA ARSENAL 2-1 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry