• HABARI MPYA

        Sunday, February 28, 2021

        LEWANDOWSKI APIGA MBILI BAYERN MUNICH YASHINDA 5-1


        MSHAMBULIAJI Robert Lewandowski jana amefunga mabao mawili, Bayern Munich ikiibuka na ushindi wa 5-1 dhidi ya FC Cologne katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich – na sasa wanaongoza kwa ponti mbili zaidi ya RB Leipzig (52-50) baada ya mechi 23 kwa wote.
        Mpoland huyo akifikisha mabao 28 – huku mabao mengine ya Bavarian yakifungwa na Serge Gnabry aliyetokea benchi mawili pia na lingine Eric Maxim Choupo-Moting na la kufutia machozi la Cologne lilifungwa na Ellyes Skhiri 

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: LEWANDOWSKI APIGA MBILI BAYERN MUNICH YASHINDA 5-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry