• HABARI MPYA

        Wednesday, February 17, 2021

        JENNIFER BRADY ATINGA NUSU FAINALI AUSTRALIAN OPEN


        MCHEZAJI bora namba 22 duniani, Jennifer Brady ametinga Nusu Fainali ya Australian Open 2021 baada ya kutoka nyuma na kumfunga Mmarekani mwenzake, Jessica Pegula seti 2-1 (4-6, 6-2, 6-1) huko Rod Laver Arena, Melbourne Park, Melbourne.
        Naye mchezaji namba nne duniani, Daniil Medvedev ametinga Nusu Fainali baada ya kumfunga Mrusi mwenzake, Andrey Rublev, mchezaji namba saba kwa seti zote (7-5, 6-3, 6-2) huko Rod Laver Arena, Melbourne Park, Melbourne
         PICHA ZAIDI GONGA HAPA

         


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: JENNIFER BRADY ATINGA NUSU FAINALI AUSTRALIAN OPEN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry